Fikicha akili

“Ukiwa kazini fanya kazi usiogope watu watakuchukuliaje cha muhimu iwe kazi halali, na hivyo ndivyo walivyo wapiga picha wengi wanachojali ni picha itokee vizuri wala hawaangaiki na watu wanatawaonaje namna wanavyoipiga hiyo picha”

#Fikicha Akili#
JIFUNZE KUJIFUNZA
Mwl Makwaya
Kuwa Ni Kufanya.
Njia rahisi ya watu “kukuita Freemason” ni kufanya vitu KIPEKEE, KITOFAUTI, NA ISIVYOZOELEKA… Hapo utakuwa umejiunga Freemason bila kujua -Mwl DCK
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »