“Mimi nikiona mtu anaajiri, ana biashara, maduka, anafuga, ana eka kadhaa analimisha, kinachokuja moyoni kwangu haraka ni KAMA HUYU AMEWEZA NA HAKUZALIWA NAVYO, YEYOTE PIA ANAWEZA KUVIPATA NA AKAMPITA. Ila watu wengi ambao AKILI ZIMEFUNGWA utawasikia wakisema, HUYU FISADI, NI FREEMASON, KAMTOA MTOTO WAKE, NI DHULUMA nakadhalika, NA KWA KUFANYA HIVI, MUNGU ANAWANYANG’ANYA WAO WASIJEKUWA NAVYO ILI WAKAPATA MAUMIVU NA UCHUNGU WA KUSEMWA NA KUTUKANWA KAMA WAO WANAVYOFANYA. Usipojifunza kuwakubali na kuwasema vizuri waliokuzidi na kukutangulia KIUCHUMI, Mungu hataruhusu uwafikie au kuwapita. APENDAYE MAISHA NA KUWA NA SIKU NYINGI NA AUZUIE ULIMI WAKE USINENE HILA”
usioe kwa sababu
“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,