Kubadili akina kaka/dada kama nguo sio sifa, ni Upumbavu. Kuwavulia watu ovyo si ujanja, ni ulofa uliopitiliza. Si Mungu na jamii tu wanaokerwa na Ubwege huo. Hata Shetani anakushangaa maana Unakaribia kumpiku. Kujitunza si kwa akina dada tu na wa kaka pia
usioe kwa sababu
“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,