HATARI

  • “Ukikosa Mbinguni Hautakosa Kuzimu” (Ufunuo 20:15)

 

  • “Kama Hauishi Maisha Ya Utakaso, Umechagua Ya Dhambi” (Ufunuo 22:11-16)

 

  • “Kama Haujilindi Na Dhambi Ni Wazi Hujazaliwa Mara Ya Pili” (1yohana 5:18)

 

  • “Maisha Yako Ni Ujumbe, Kama Si Barua Ya Kristo Ni Ufunuo Wa Utendaji Wa Ibilisi” (2kor 3:1-3, 1yoh 3:8a)

 

  • “Kama Haujashuhudiwa Kumpendeza Mungu Sasa, Hautanyakuliwa” (Waebrania 11:5).

 

  • “Kuna Makundi Mawili Tu Kanisani, Wanawali Wenye Hekima Na Wapumbavu, Na Uko Kundi Mojawapo” (Mathayo 25:1-13)

 

 

  • “Kama Hauongozwi Na Roho, Unaongozwa Na Mkuu Wa Uweza Wa Anga Roho Itendayo Kazi Kati Ya Wana Wa Uasi” (Rumi 8:14, Efeso 2:1-4).

 

  • “Kama Si Sababu Ya Yesu Kutukuzwa Wewe Ni Sababu Ya Jina Lake Kutukanwa Na Mataifa” (Mathayo 5:16, Rumi 2:24)

 

  • “Kwenye Mwili Wa Kristo Kuna Magugu Na Ngano! Ngano Alizipanda Yesu Mwenyewe Na Anatarajia Hesabu Toka Kwao Siku Ya Mwisho Na Magugu Ni Wana Wa Ibilisi Waliochomekwa Katika Makanisa Wameongozwa Sala Ya Toba Ndiyo, Lakini Wanaendelea Na Maisha Ya Dhambi Wakisingizia Neema… Utajua Mwenyewe Upo Kundi Lipi Kwa Kuangalia Unavyokazania Utakatifu Au Unavyoendelea Na Dhambi Kama Wapagani Wengine Huku Ukiwa Miongoni Mwa Waliookoka”
    (Mathayo 13:36-42).

 

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »