Hatua moja kwenda nyingine

“Kila mtu ALIYEOKOKA halafu ANALISOMA NENO na pia ni MWOMBAJI, hawezi KUFELI KWENYE MAISHA, anaweza ASIMSIKIE MUNGU KWA SAUTI KUUUUBWA lakini NDANI YAKE ANAWEKEWA MAWAZO NA MUNGU YA NINI CHA KUFANYA ILI KUTOKA LEVEL MOJA HADI NYINGINE… Binafsi, 90% YA NILICHOFANYA HADI SASA NI KWA NJIA YA MAWAZO ANAYONIPA MUNGU wakati wa maombi au baada, wakati wa kusoma au kusikiliza Neno, vitabu vya watumishi wa Mungu, wakati wa utulivu na hata nikiwa kwenye kusanyiko au kelele… 10% pekee ndio Mungu kasema nami kwa NDOTO NA MAONO NA SAUTI KUBWA… MAWAZO YA MTU ALIYEGEUZWA NAFSI YAKE NA KUFANYWA UPYA NI KIWANDA CHA KUPITISHIA MAWAZO MEMA NA YA AMANI ALIYONAYO MUNGU KWA AJILI YETU…”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »