“Kila mtu ALIYEOKOKA halafu ANALISOMA NENO na pia ni MWOMBAJI, hawezi KUFELI KWENYE MAISHA, anaweza ASIMSIKIE MUNGU KWA SAUTI KUUUUBWA lakini NDANI YAKE ANAWEKEWA MAWAZO NA MUNGU YA NINI CHA KUFANYA ILI KUTOKA LEVEL MOJA HADI NYINGINE… Binafsi, 90% YA NILICHOFANYA HADI SASA NI KWA NJIA YA MAWAZO ANAYONIPA MUNGU wakati wa maombi au baada, wakati wa kusoma au kusikiliza Neno, vitabu vya watumishi wa Mungu, wakati wa utulivu na hata nikiwa kwenye kusanyiko au kelele… 10% pekee ndio Mungu kasema nami kwa NDOTO NA MAONO NA SAUTI KUBWA… MAWAZO YA MTU ALIYEGEUZWA NAFSI YAKE NA KUFANYWA UPYA NI KIWANDA CHA KUPITISHIA MAWAZO MEMA NA YA AMANI ALIYONAYO MUNGU KWA AJILI YETU…”
HII NAYO YA MUHIMU SANA KWA YULE UNAYEJIANDAA KUWA MME/MKE WAKE!
Luka 1:5 inasema kitu kuhusu Kuhani Zekaria, na Mke wake Elisabeth…na kuna mambo kadhaa ya kujifunza; 1.Zekaria alikuwa kuhani, lakini Elizabeth alikuwa wa Kabila la