“Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko wa watu wawili wanaotakiana mema, ambapo KILA MMOJA ANAISHI KWA AJILI YA MAFANIKIO NA USTAWI WA MWENZAKE NA SI KWA AJILI YAKE TU. Ukioa au kuoa huku moyoni unajua na umeamua kuishi kwa ajili ya KUMUINUA NA KUMSIMAMISHA MWENZAKO, hautajutia wala kuona machungu ya ndoa wanayopata wengine…”
(Mhubiri 4:9-10)
KWA WAOAJI TU
“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni