HEKIMA ZA NDOA 3

 
https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/14463030_1106577142711786_6129589280312082714_n.jpg?oh=e4f3c354b5f71a7f592f687e9be4bf47&oe=58A7F181
“Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko wa watu wawili wanaotakiana mema, ambapo KILA MMOJA ANAISHI KWA AJILI YA MAFANIKIO NA USTAWI WA MWENZAKE NA SI KWA AJILI YAKE TU. Ukioa au kuoa huku moyoni unajua na umeamua kuishi kwa ajili ya KUMUINUA NA KUMSIMAMISHA MWENZAKO, hautajutia wala kuona machungu ya ndoa wanayopata wengine…”
(Mhubiri 4:9-10)

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »