HEKIMA ZA NDOA 4

https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/14457549_1106579872711513_5630216793992043093_n.jpg?oh=f48d82b205450242c908bd88b7ae5e38&oe=58A92C28
“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA KINACHOMNOA MWENZIE kuliishi na kulitimiza kusudi la Mungu walilopewa!
Kama unaoa au kuolewa, hakikisha unaolewa na kuoa mtu ambaye ANAKUTIA MOTO KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU MAISHANI MWAKO, halafu SUALA LA KUKUTIA JOTO KITANDANI LINAFUATA USIKU baada ya kushinda kutwa nzima PAMOJA MKILITUMIKIA KUSUDI LA MUNGU…”
(Mhubiri 4:9-11).
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »