Kati ya kauli wanazotumia Wakristo wengi ni “SHETANI AMEJIINUA mambo yakaharibika nk” lakini Biblia inasema ‘SHETANI YUKO CHINI YA MIGUU YETU’…AKIJIINUA, ANAKUINUA WEWE ZAIDI. Kawaulize YUSUFU, DANIEL na akina SHEDRACK, MESHACK na ABEDNEGO watakwambia!
Mwanamke au Mwanaume asiyekuwa na muda wa kutosha na Mungu hawezi kuwa na muda wa kutosha na wewe kwenye MAHUSIANO …Kama akiwa na muda na Mungu atajua kuwa, “UPENDO hautafuti mambo yake wenyewe” …Tofauti na hapo, ni kumlisha chatu unga, akiota meno..??