“Hakuna Kitu Kama KUJIKOPESHA PESA YA MUNGU Wakati Unapokuwa Na Uhitaji Wa Pesa, Kama Mungu Hawezi Kutimiza Mahitaji Yako Ni Bora Ufe Au Upate Aibu Katika UAMINIFU Kuliko Kunyoosha Mkono KUGUSA NA KUTUMIA Kilichowekwa Wakfu Kwa BWANA”
Ukivuka Mtihani Huu:
“NA MUNGU WANGU ATAKUJAZA KILA UNACHOKIHITAJI KWA KADRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU KATIKA KRISTO YESU” (Wafilipi 4:19).
#HEKIMA2
Mwl D.C.K
USIOE KWA SABABU :2
“Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu