KWA MHUDUMU WA INJILI

“Hakuna Kitu Kama KUJIKOPESHA PESA YA MUNGU Wakati Unapokuwa Na Uhitaji Wa Pesa, Kama Mungu Hawezi Kutimiza Mahitaji Yako Ni Bora Ufe Au Upate Aibu Katika UAMINIFU Kuliko Kunyoosha Mkono KUGUSA NA KUTUMIA Kilichowekwa Wakfu Kwa BWANA”
Ukivuka Mtihani Huu:
“NA MUNGU WANGU ATAKUJAZA KILA UNACHOKIHITAJI KWA KADRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU KATIKA KRISTO YESU” (Wafilipi 4:19).
#HEKIMA2
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »