“Hakuna Kitu Kama KUJIKOPESHA PESA YA MUNGU Wakati Unapokuwa Na Uhitaji Wa Pesa, Kama Mungu Hawezi Kutimiza Mahitaji Yako Ni Bora Ufe Au Upate Aibu Katika UAMINIFU Kuliko Kunyoosha Mkono KUGUSA NA KUTUMIA Kilichowekwa Wakfu Kwa BWANA”
Ukivuka Mtihani Huu:
“NA MUNGU WANGU ATAKUJAZA KILA UNACHOKIHITAJI KWA KADRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU KATIKA KRISTO YESU” (Wafilipi 4:19).
#HEKIMA2
Mwl D.C.K
NDOA
“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na