KWA MHUDUMU WA INJILI

“Hakuna Kitu Kama KUJIKOPESHA PESA YA MUNGU Wakati Unapokuwa Na Uhitaji Wa Pesa, Kama Mungu Hawezi Kutimiza Mahitaji Yako Ni Bora Ufe Au Upate Aibu Katika UAMINIFU Kuliko Kunyoosha Mkono KUGUSA NA KUTUMIA Kilichowekwa Wakfu Kwa BWANA”
Ukivuka Mtihani Huu:
“NA MUNGU WANGU ATAKUJAZA KILA UNACHOKIHITAJI KWA KADRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU KATIKA KRISTO YESU” (Wafilipi 4:19).
#HEKIMA2
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »