Kwanini unamchukia?

Kuchukia

Shetani Anaweza Kukupa Kazi Ya KUSHINDANA NA MTUMISHI WA MUNGU Halafu Ukiulizwa, “KWANINI UNAMCHUKIA??”

Au “KWANINI UNASEMA HUMPENDI??” Au “KWANINI UKO KINYUME NA HUDUMA YAKE??” Unaishia Kusema, “BASI TU NIMEJIKUTA TU SIMPENDI” Au “NIMEJIKUTA TU NACHUKIA ALICHOSEMA AU ALICHOFUNDISHA” Kama Uko Hivyo Ujue Hauna Tofauti Na Wale Wenyeji Wa Mji Wa Efeso Waliojikusanya Uwanjani Na Kuanza Kuimba, “ARTEMI WA WAEFESO NI MKUU” Halafu Walipoulizwa “VIPI MNA UGOMVI GANI NA PAULO??” Wakajibu, “HATA HATUJUI ILA ARTEMI WA WAEFESO NI MKUU” …. Hii Ni “ROHO YA UDINI INAKUTESA” Amua Kuipeleka Msalabani Ife Ili “ROHO YA KRISTO” Inayosimama Upande Wa Kristo Na Walio Wake “IJE NDANI YAKO NA IKUPE UWEZO WA KUSIMAMA NA WALIOBEBA KITU CHA KRISTO NA UFALME WA MBINGUNI”
#JIPIME
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »