Mimi kwanza

Ninaposoma Biblia Yangu, Lengo Langu La Kwanza Si Kupata Somo La Kuja Kukufundisha Wewe, Katu Haitakuja Kuwa Hivyo!
Laengo Langu La Kwanza Kusoma Biblia Ni Ili NIKUTANE NA WAZO JIPYA LA MOYO WA MUNGU… Ni Ili NIKUTANE NA AKILI ZAKE NA HEKIMA ZAKE… Ni Ili NISIKIE SAUTI YAKE… Ni Ili NIPATE MAARIFA NA UFAHAMU WAKE… Kisha Nayaweka Kwenye NAFSI YANGU, NAYATAFAKARI NA KUPATA UFUNUO WA KUBADILISHA MAISHA YANGU NA KUYASTAWISHA… Nikishapata Ufunuo, NATUNZA MOYONI MWANGU, Nauruhusu Huo UFUNUO UWE MFUMO WANGU WA MAISHA WA KILA SIKU; Naanza KUONGEA Kama Huo Ufunuo, Naanza KUWAZA Kama Huo Ufunuo… Naanza Kutenda Huo Ufunuo~
Ukishakuwa Mfumo Wangu Wa Maisha Ndipo Ninakuletea Na Wewe Hapa Ili Ujifunze Na Kupata Faida… Mimi Si Miongoni Mwao “WANAO WAHUBIRIA WENGINE WAO WAKAWA WA KUKATALIWA”
Mimi Kwanza Halafu Nikishapata Na Kuhakiki UHALISI WA KWELI ZA NENO Ndipo Na Mimi Nakuletea UHAKIKA HUO NAWE UPATE FAIDA~
Nakupenda Ndio Lakini Siruhusiwi Kukupenda ZAIDI YA NAFSI YANGU!
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »