MWANGA

Mwanga

“Usijaribu Kufanya Jambo Lolote Hapa Duniani Ambalo HUNA MWANGA Juu Yake… Yaani Huna Uhakika [Ufahamu, Maarifa, Ujuzi Na Uelewa Wa Kutosha] Kuhusu Hilo… Hata Kabla Ya MUNGU Kuumba VITU VINGINE Alihakikisha Kwamba ANAUMBA NURU [Plan, Strategy, Process, Ideas, Imagination] Halafu Ndipo Akaanza KUYASEMA YASIYOKUWEPO KANA KWAMBA YAMEKUWEPO…. Hii Ndiyo Kanuni Ya Maisha… Hakikisha Una NURU YA KUTOSHA Kuhusu Jambo Kabla Ya Kuchukua UAMUZI KUFANYA CHOCHOTE… Inawezekana Ni Jambo Ambalo HAKUNA MTU AMEWAHI KUFANYA NA HAKUNA NURU KWA JIRANI; Bado NENO LA MUNGU NI NURU LITAKUPA CHA KUFANYA NA KATIKA HILO… Ukishakuwa Na NURU, Basi UMBA MENGINE YOTE UNAYOYATAKA…. Mungu Akasema, ‘NA IWE NURU….AKAONA YAKUWA NURU NI NJEMA’… ‘NAYO NURU YANG’AA GIZANI WALA GIZA HALIKUIWEZA’….”
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »