MWANGA

Mwanga

“Usijaribu Kufanya Jambo Lolote Hapa Duniani Ambalo HUNA MWANGA Juu Yake… Yaani Huna Uhakika [Ufahamu, Maarifa, Ujuzi Na Uelewa Wa Kutosha] Kuhusu Hilo… Hata Kabla Ya MUNGU Kuumba VITU VINGINE Alihakikisha Kwamba ANAUMBA NURU [Plan, Strategy, Process, Ideas, Imagination] Halafu Ndipo Akaanza KUYASEMA YASIYOKUWEPO KANA KWAMBA YAMEKUWEPO…. Hii Ndiyo Kanuni Ya Maisha… Hakikisha Una NURU YA KUTOSHA Kuhusu Jambo Kabla Ya Kuchukua UAMUZI KUFANYA CHOCHOTE… Inawezekana Ni Jambo Ambalo HAKUNA MTU AMEWAHI KUFANYA NA HAKUNA NURU KWA JIRANI; Bado NENO LA MUNGU NI NURU LITAKUPA CHA KUFANYA NA KATIKA HILO… Ukishakuwa Na NURU, Basi UMBA MENGINE YOTE UNAYOYATAKA…. Mungu Akasema, ‘NA IWE NURU….AKAONA YAKUWA NURU NI NJEMA’… ‘NAYO NURU YANG’AA GIZANI WALA GIZA HALIKUIWEZA’….”
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »