MWANGA

Mwanga

“Usijaribu Kufanya Jambo Lolote Hapa Duniani Ambalo HUNA MWANGA Juu Yake… Yaani Huna Uhakika [Ufahamu, Maarifa, Ujuzi Na Uelewa Wa Kutosha] Kuhusu Hilo… Hata Kabla Ya MUNGU Kuumba VITU VINGINE Alihakikisha Kwamba ANAUMBA NURU [Plan, Strategy, Process, Ideas, Imagination] Halafu Ndipo Akaanza KUYASEMA YASIYOKUWEPO KANA KWAMBA YAMEKUWEPO…. Hii Ndiyo Kanuni Ya Maisha… Hakikisha Una NURU YA KUTOSHA Kuhusu Jambo Kabla Ya Kuchukua UAMUZI KUFANYA CHOCHOTE… Inawezekana Ni Jambo Ambalo HAKUNA MTU AMEWAHI KUFANYA NA HAKUNA NURU KWA JIRANI; Bado NENO LA MUNGU NI NURU LITAKUPA CHA KUFANYA NA KATIKA HILO… Ukishakuwa Na NURU, Basi UMBA MENGINE YOTE UNAYOYATAKA…. Mungu Akasema, ‘NA IWE NURU….AKAONA YAKUWA NURU NI NJEMA’… ‘NAYO NURU YANG’AA GIZANI WALA GIZA HALIKUIWEZA’….”
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »