NDOA


“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na maono tofauti kabisa na ya familia mbili walikotokea… Wanapaswa kujua kilichowaunganisha na kukubali kuacha na kusahau kusudi na maono ya familia walizotokea ili kutimiza kusudi na maono yao… Watu wa familia hizi mbili walikotokea wanakuwa ni wageni waalikwa na wanaopaswa kukubali ukweli kuwa hawa wanandoa wapya walikuwa kwao lakini si wao tena… Tukielewa mipaka hii, tutapunguza matatizo ya ndoa kuvunjika kwa sababu ya wazazi na ndugu wa familia mbili tulikotokea… Mwanaume analazimika kuwaacha ndugu na wazazi wake na kuambatana na mkewe… Vivyo hivyo kwa mke (Mwanzo 2:24, Zaburi 45:10-11)

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »