Neno la Mungu Halipo kwa ajili ya Majaribio

Neno la Mungu

Kwenye FALSAFA Za Maisha Wanasema, “UKIJARIBU KUFANYA JAMBO LOLOTE UNAKUWA NA NAFASI YA KUPATA MOJA KATI YA MATOKEO MAWILI; Kufanikiwa Au Kushindwa. NA KAMA USIPOJARIBU UNAKUWA NA MATOKEO YA AINA MOJA TU; Kushindwa”
Kwenye NENO LA MUNGU Hiyo Kanuni HAIFANYI KAZI; Ime-prove failure… “UKIJARIBU KUTENDA KILE AMBACHO NENO LA MUNGU LINASEMA, NI SAWA NA KUTOTENDA KABISA, UTAPATA MATOKEO YA AINA MOJA TU; Kushindwa”
KWANINI?
NENO LA MUNGU HALIPO KWA AJILI YA MAJARIBIO… LIPO KWA AJILI YA UTENDAJI… WANAOJARIBU KUFANYA, SIKU ZOTE HAWATAPATA, MAANA HAWANA IMANI YA 100% Kwenye Kile Wanachofanya… Maana HAWATENDI Bali WANAJARIBU!
Je Hiki Ni Chakula Kigumu?

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »