“Njia mojawapo sahihi ya kuwasaidia MASIKINI ni wewe kutokuwa MASIKINI KAMA WAO. Huo ni msaada tosha, Inaepusha COMPETITION YA MAKOMBO chini ya meza ya tajiri. Kwa kutokuwa na akina Lazaro 10 chini ya Meza ya TAJIRI ilimuhakikishia Lazaro upatikanaji wa makombo tofauti na kama wangekuwepo akina Lazaro 10 chini ya meza moja. Kama una huruma na masikini, pambana usiwe masikini, huo ni msaada mkubwa sana unaoweza kuwapa masikini”
Mwalimu Dickson Cornel Kabigumila
Destined To Reign International Ministries (DETRIM).
USIOE KWA SABABU :2
“Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu