LUGHA ZINAZOMFURAHISHA SHETANI KILA WAKATI UNAPOZISEMA.
( Hizi Ndio Lugha Zinazofunga Maisha yako Siku Hata Siku, kila unapoamka ndio mambo kama vile yanaharibika) Zinahamasishwa na shetani mwenyewe ( Na Zinamuhuzunisha Roho
( Hizi Ndio Lugha Zinazofunga Maisha yako Siku Hata Siku, kila unapoamka ndio mambo kama vile yanaharibika) Zinahamasishwa na shetani mwenyewe ( Na Zinamuhuzunisha Roho
USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu
1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya
NGUVU YA UFUFUO 1. UMEFUFULIWA PAMOJA NA KRISTO YESU; Omba nguvu ya Ufufuo (nguvu ya Roho Mtakatifu) IBADILISHE KUFIKIRI KWAKO ili UYAWAZE YALIYO JUU
UPAKO WA KUWA (ANOINTING TO BECOME). UTANGULIZI Kwenye maisha haya, hatukuja kubahatisha maisha, wala kufanya pata potea! Mungu ametuumba TUWE MAALUM katika maeneo fulani kwa
1. HAKIKISHA UMEOKOKA HARAKA IWEZEKANAVYO KAMA BADO HAUJAOKOKA! NA KAMA UMEOKOKA LAKINI BADO KUNA MAENEO UNAHANGAIKA NA DHAMBI MFANO UZINZI, UASHERATI, KUJICHUA (MASTURBATION), KUTAZAMA
NGUVU YA KUANZA MAMBO MAPYA (THE POWER TO START NEW CHAPTERS). Maandiko: “Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing’aayo ikizidi kung’aa hata mchana
NGUVU ZA MUNGU Zaburi 105:4 “Mtakeni Bwana na NGUVU ZAKE; utafuteni uso wake siku zote” Kwenye andiko hili la msingi tunayaona mambo kadhaa; 1. Kuna
NGUVU ZA KUKABILI HALI ZA KIFO (POWER TO HANDLE DEADLY SITUATIONS). Utangulizi; Kwenye maisha kuna hali ambazo zimekaa kama kifo, au ukizubaa zinaweza kupelekea kifo
NGUVU YA KUCHUKUA HATUA (THE POWER OF TAKING A STEP)! Maandiko: “Wakati HATUA ZANGU zilipokuwa zikioshwa kwa siagi, Nalo jabali lilipomimina mito ya maziwa” (Ayubu
NGUVU YA KUKABILI HABARI MBAYA (THE POWER TO WITHSTAND BAD REPORTS). Maandiko: “Watu waliposikia HABARI HIZO MBAYA wakaomboleza wala hapana mtu aliyevaa vyombo vyake vya
“FURSA NI NYINGI MNO KWA WATU AMBAO NI BORA KWENYE WANACHOFANYA” NILIGUNDUA, HAKUNA UHABA WA FURSA, HAKUNA UHABA WA MILANGO YA MAFANIKIO! NILIGUNDUA HAKUNA UHABA
“SIKUONA HESHIMA WANAYOPEWA WATU WA “JUMLA” NILIONA WANAOPEWA HESHIMA NI WALIOFANIKIWA KUFANYA VITU VYA PEKEE AU VITU VILEVILE KWA UPEKEE” YAANI NILIGUNDUA, DUNIA HAISHANGILII KILA
NGUVU YA KUUMBA MEMA TOKANA NA MABAYA NA MAGUMU YANAYOTUZUNGUKA (THE POWER TO CREATE GOOD THINGS OUT OF BAD AND TOUGH SITUATIONS AROUND US). Maandiko:
AKILI BORA (EXCELLENT UNDERSTANDING)! “Nimesikia habari zako, kwamba roho ya miungu imo ndani yako, na kwamba nuru na ufahamu NA AKILI BORA ZIMEONEKANA KWAKO” (Danieli
KANUNI YA MUDA/WAKATI (THE PRINCIPLE OF TIME). Utangulizi. Maisha ni muda, na muda ni maisha! Hakuna maisha bila muda, maisha ya mtu au kitu yamefungwa
(Soma vizuri sana ujumbe huu,utapata KWELI ya Kristo YESU ndani yako) 1.UDANGAYIFU (HILA ZA SHETANI) KUPITIA TEKNOLOJIA na MAMBO YA DUNIA HII. Na hapa Inahusisha
YAH: MAJIBU KWA SWALI KAULI ISEMAYO, “KAMA KWELI WATUMISHI NA WALIOOKOKA WANAWEZA KUOMBEA WAGONJWA WAKAPONA, KWANINI WASIENDE MAHOSPITALINI NA KUPONYA WALE WATU WALIOLALA KULE WAKIWA
“Nanyi MTAPOKEA NGUVU AKISHAWAJILIA JUU YENU ROHO MTAKATIFU…” MDO 1:8 1. Hii nguvu HAIJITEGEMEI inaambatana na UWEPO WA ROHO MTAKATIFU, ukiondoa uwepo wa Roho mtakatifu
“Sasa kila MTUMISHI WA MUNGU akiamua KUCOMPROMISE akasema UNAWEZA KUZINI, UNAWEZA KUTOKA NA MME/ MKE WA MTU NA BADO UKAENDA MBINGUNI, sasa nani atakayezungumzia upande
[fbvideo link=”https://web.facebook.com/kabigumilacornel.dick/videos/2301002856602536/” width=”500″ height=”400″ onlyvideo=”1″] TUTAJIFUNZA KUTOKEA 2WAFALME 4:1-7 BIBLIA INA SIRI NYINGI ZA UCHUMI, USIACHE KUTAZAMA, NI SAA YAKO YA KUJAA SIRI ZA UFALME