Ufalme wa Mungu

“Jua na kuelewa nafasi yako uliyopata katika Ufalme wa Mungu, kama Uzao mteule, Mtu wa Milki ya Mungu na Kuhani na Mfalme chini ya Mfalme wa Wafalme, Mtu wa nyumbani kwa Mungu, Uliyehamishwa toka gizani na kuingizwa katika Ufalme wa Mwana mpenzi wa Mungu HALAFU Shetani na Kila nguvu yake ya giza haitakusogelea maana wewe ni NURU NA UKO SERIKALI TOFAUTI NA YAKE, Hawezi kukufanya chochote mpaka wewe UMPE NAFASI kwa kupitia mlango wa dhambi au KUKOSA MAARIFA”
Maandiko ya kujisomea:
1Petro 2:9-10, Wakolosai 1:13, Ufunuo 5:8-9, Waefeso 2:19.

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »