Ufalme wa Mungu

“Jua na kuelewa nafasi yako uliyopata katika Ufalme wa Mungu, kama Uzao mteule, Mtu wa Milki ya Mungu na Kuhani na Mfalme chini ya Mfalme wa Wafalme, Mtu wa nyumbani kwa Mungu, Uliyehamishwa toka gizani na kuingizwa katika Ufalme wa Mwana mpenzi wa Mungu HALAFU Shetani na Kila nguvu yake ya giza haitakusogelea maana wewe ni NURU NA UKO SERIKALI TOFAUTI NA YAKE, Hawezi kukufanya chochote mpaka wewe UMPE NAFASI kwa kupitia mlango wa dhambi au KUKOSA MAARIFA”
Maandiko ya kujisomea:
1Petro 2:9-10, Wakolosai 1:13, Ufunuo 5:8-9, Waefeso 2:19.

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »