Ukifa Leo

https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-0/p480x480/16266166_1211459955556837_3211989167514317597_n.jpg?oh=8cfbfb9e726f5904e7469be71059262d&oe=5907E1BB
“Hivi ikitokea UKAFA LEO watu watakaobaki duniani WATAKUKUMBUKA KWA LIPI? Kazi zako zitaendelea kuishi au UTAZIKWA NA KILA ULICHOBEBA NDANI YAKO? Huwa nawaambia watu, SIOGOPI KUFA NA SIFI KIRAHISI NA KAMA KUKU… UHAI WANGU UMEFICHWA PAMOJA NA UHAI WA KRISTO YESU NDANI YA MUNGU… LAKINI ikitokea MUNGU AMENICHUKUA NA KAJIRIDHISHA KAZI YANGU IMETOSHA… Yeye mwenyewe (Mungu) ATANIPOKEA KISHUJAA AKISEMA KARIBU MTUMWA MWEMA NA MWAMINIFU… Na waliobaki DUNIANI watabaki wakiandika kuhusu MIMI NA YALE AMBAYO MUNGU AMENITUMIA KUFANYA… Sitakufa wala kuondoka na chochote duniani, I WILL DIE EMPTY… Wewe UMEKAA TU UNASEMA MIAKA 5 IJAYO, MIAKA 10 IJAYO TANZANIA ITANIFAHAMU… Ndugu, WAKATI ULIOKUBALIKA NI SASA… MUDA WAKO DUNIANI NI LEO, KESHO SI YAKO… Usipoanza LEO KUACHA ALAMA DUNIANI, tutakuzika na VYOTE ALIVYOWEKEZA MUNGU MAISHANI MWAKO… AMKA, TUMIA MAISHA YAKO KUANDIKA JINA LAKO LITAKALOISHI WEWE UKIMALIZA SAFARI YA MAISHA..”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »