Ukisema Maneno chanya (Imani)

maneno chanya

Ukisema MANENO CHANYA NA MANENO YA IMANI: Unamuweka Mungu Na Malaika Zake Kazini Ili Kukusaidia Na Kuthibitisha Hayo Uliyosema.
Ukisema MANENO HASI NA YA MASHAKA: Unampa Ibilisi Nafasi Yeye Na Watenda Kazi Wake Wakumalize Na Kutimiza Kila UHARIBIFU “ULIOTABIRI JUU YAKO KWA KINYWA CHAKO NA IMANI YAKO HASI”
“Tumbo La Mtu Litashiba Matunda Ya Kinywa Chake; Uwezo Wa Mauti Na Uzima Vipo Katika Ulimi Wa Mtu, Nao Waupendao Watakula Matunda Yake” (Mithali 18:20-21).
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »