USIOE KWA SABABU :2

 
“Wenzhttps://i0.wp.com/atlantablackstar.com/wp-content/uploads/2012/08/Young-Couple-Posed.jpg?w=1200ako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu ALARM ya kujua lini aingie huko na inahitaji HEKIMA ITOKAYO JUU kujua ni yupi ambaye atasababisha useme, BINTI ZA WATU WAMEFANYA MEMA LAKINI WEWE UMEWAZIDI WOTE. Sasa wewe oa kwa sababu una wanaoweza kukupa michango ya TUKIO LA SIKU MOJA (harusi), usahau kuwa KUANZIA HAPO MPAKA KIFO KINAWATENGA UTAKUWA PEKE YAKO… Ndoa si upele kila mtu ajikune. KABLA YA KUANZA UJENZI WA MNARA KAA CHINI HESABU GHARAMA KAMA UTAUMALIZA ILI USIJEKWAMA NA KUWAFANYA WATU WAKUDHIHAKI… Kurupuka uone utakavyokukuruka…”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »