WAPE WATU FARAJA, LAKINI…

 

Faraja

Wanadamu Wana Maumivu, Vilio Na Matatizo Mengi, Wengi Wanayaonesha Na Kuyakiri Waziwazi Lakini Wachache Wanabaki Nayo Moyoni; Aidha Kwa Vile Wana Imani Kwamba Mungu Ataingilia Kati Na Kuwasaidia Ama Hawapendi Kuwapa Faida Watu Wengine!
LAKINI
Unapomshauri Mtu Au Kumtia Moyo Au Kumpa Faraja, Hakikisha Kwamba Hiyo Faraja Ni Ya KWELI… Kama Haina Ukweli, Hata Akifurahi Kwa Muda, Na Kucheka Kwa Kitambo, Siku Akijua UKWELI HALISI Lazima Atajuta, Ataumia Na Wewe Uliyempa Faraja Ya Uongo UTAKUWA ADUI YAKE NAMBA MOJA!
Iseme Kweli Hata Kama INAUMA Au Haipokelewi, Lakini Mhusika Akija Kujua Kwamba Ulichosema Kilikuwa KWELI HALISI, Atatambua Kwamba Ulikuwa MTU MWEMA Na Hata Asiporudi Kukushukuru Lakini Moyoni Mwake Atajua Kwamba ULIMTAKIA MEMA!!
“INUNUE KWELI WALA USIIUZE…”
“MUNGU ANAPENDEZWA NA KWELI ILIYOKO MOYONI”
“NA HIYO KWELI ITATUWEKA HURU, NASI TUTAKUWA HURU KWELI KWELI”
Salamu Toka Mwanza,
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »