KANUNI 10 ZA USTAWI KWENYE MAISHA

KANUNI 10 ZA USTAWI KWENYE MAISHA

NA PASTOR DICKSON KABIGUMILA

1. Huwezi kustawi kwenye lolote bila kulianza/ kupanda mbegu/ kuchukua hatua

(Mwanzo 26:12-14)

2. Huwezi kustawi kwenye USICHOKIJUA VIZURI (Mithali 4:7-8)

3. Huwezi kustawi kwenye unachokijua lakini HAUKIFANYI VEMA

(Mwanzo 4:6-7, Isaya 1:17a)

4. Hauwezi kustawi kwenye kile ambacho HAUKIFANYI KWA BIDII

(Mithali 22:29)

5. Hauwezi kustawi kwenye chochote zaidi ya BARAKA YA MUNGU ULIYOBEBA

(Mwanzo 26:12-14, Isaya 51:2)

6. Hauwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya UREFU, UPANA NA UKUBWA WA MSINGI ulioweka kabla ya kuanza kufanya jambo (Luka 14:28-30)

7. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya WATU ULIOJIZUNGUSHIA KWENYE MAISHA (Mithali 13:20, Zaburi 1:1-3).

8. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya PICHA ULIYONAYO/ MAONO

(Mwanzo 13:14-15)

9. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya UWEKEZAJI WAKO WA MUDA KWENYE JAMBO HUSIKA/ TO PAY CLOSE ATTENTION AND DEVOTING YOUR MOST PRODUCTIVE TIME SET

(Mithali 27:23)

10. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya NIA YAKO YA KUGUSA NA KUBARIKI WENGINE WENGI KUPITIA UNACHOFANYA

(Wafilipi 2:5-11)

Pastor Dickson Cornel Kabigumila

ABC GLOBAL DUNIANI

20/02/2023

KUPATA MASOMO MITANDAONI

WhatsApp: 0655 466 675

Youtube: Pastor Dickson Kabigumila

Facebook: Dickson Cornel Kabigumila (iko verified na blue tick)

Instagram: @pastorkabigumila (iko verified na blue tick)

Tiktok: @kabigumila

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »