KANUNI 10 ZA USTAWI KWENYE MAISHA

KANUNI 10 ZA USTAWI KWENYE MAISHA

NA PASTOR DICKSON KABIGUMILA

1. Huwezi kustawi kwenye lolote bila kulianza/ kupanda mbegu/ kuchukua hatua

(Mwanzo 26:12-14)

2. Huwezi kustawi kwenye USICHOKIJUA VIZURI (Mithali 4:7-8)

3. Huwezi kustawi kwenye unachokijua lakini HAUKIFANYI VEMA

(Mwanzo 4:6-7, Isaya 1:17a)

4. Hauwezi kustawi kwenye kile ambacho HAUKIFANYI KWA BIDII

(Mithali 22:29)

5. Hauwezi kustawi kwenye chochote zaidi ya BARAKA YA MUNGU ULIYOBEBA

(Mwanzo 26:12-14, Isaya 51:2)

6. Hauwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya UREFU, UPANA NA UKUBWA WA MSINGI ulioweka kabla ya kuanza kufanya jambo (Luka 14:28-30)

7. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya WATU ULIOJIZUNGUSHIA KWENYE MAISHA (Mithali 13:20, Zaburi 1:1-3).

8. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya PICHA ULIYONAYO/ MAONO

(Mwanzo 13:14-15)

9. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya UWEKEZAJI WAKO WA MUDA KWENYE JAMBO HUSIKA/ TO PAY CLOSE ATTENTION AND DEVOTING YOUR MOST PRODUCTIVE TIME SET

(Mithali 27:23)

10. Huwezi kustawi kwenye lolote zaidi ya NIA YAKO YA KUGUSA NA KUBARIKI WENGINE WENGI KUPITIA UNACHOFANYA

(Wafilipi 2:5-11)

Pastor Dickson Cornel Kabigumila

ABC GLOBAL DUNIANI

20/02/2023

KUPATA MASOMO MITANDAONI

WhatsApp: 0655 466 675

Youtube: Pastor Dickson Kabigumila

Facebook: Dickson Cornel Kabigumila (iko verified na blue tick)

Instagram: @pastorkabigumila (iko verified na blue tick)

Tiktok: @kabigumila

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram