KWA WAOLEWAJI TU

Kwa Waolewaji tu

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu MTARAJIWA WAKO Ana MTAZAMO [MINDSET] Ya Kuwa Tayari KUPIGA HELA YA KAMPUNI, SERIKALI AU MTU MWINGINE Kwa Maneno Kama “FURSA IMEJILETA” Au “BAHATI HAIJI MARA MBILI” Au “CHUKUA CHAKO MAPEMA” Ama “NCHI IMEUZWA TUMIA AKILI YAKO KUPATA CHAKO” Au Anasema, “UKIWA MPENDA HAKI NA UADILIFU UTAKUFA MASIKINI” Ujue Moja Kwa Moja Uko Hatarini Kuolewa Na JAMBAZI NA MTU ASIYE NA UTU… Usijitie Kichwa Ngumu, Maana MTU WA AINA HII HANA MWISHO MZURI; Anaweza Kufa Akakuacha Mjane Au Akaishia Gerezani Kwa Mikono Ya TAKUKURU Au KWA LAANA YA ANAOWADHULUMU… Usiolewe Na TAKATAKA YA AINA HII, INAYOPENDA PESA KULIKO MUNGU NA NENO LAKE”
Mwalimu Amesema, Kazi Ni Kwako,
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »