KWA WAOLEWAJI TU

Kwa Waolewaji tu

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu MTARAJIWA WAKO Ana MTAZAMO [MINDSET] Ya Kuwa Tayari KUPIGA HELA YA KAMPUNI, SERIKALI AU MTU MWINGINE Kwa Maneno Kama “FURSA IMEJILETA” Au “BAHATI HAIJI MARA MBILI” Au “CHUKUA CHAKO MAPEMA” Ama “NCHI IMEUZWA TUMIA AKILI YAKO KUPATA CHAKO” Au Anasema, “UKIWA MPENDA HAKI NA UADILIFU UTAKUFA MASIKINI” Ujue Moja Kwa Moja Uko Hatarini Kuolewa Na JAMBAZI NA MTU ASIYE NA UTU… Usijitie Kichwa Ngumu, Maana MTU WA AINA HII HANA MWISHO MZURI; Anaweza Kufa Akakuacha Mjane Au Akaishia Gerezani Kwa Mikono Ya TAKUKURU Au KWA LAANA YA ANAOWADHULUMU… Usiolewe Na TAKATAKA YA AINA HII, INAYOPENDA PESA KULIKO MUNGU NA NENO LAKE”
Mwalimu Amesema, Kazi Ni Kwako,
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »