UDHALIMU

Ni tabia mbaya ambayo inawatesa watu wengi.

Kama Mtu alikufanyia jambo jema, na unakumbuka alikutoa hatua moja kwenda hatua nyingine na Ukasahau au ukajisahaulisha, na Leo unamsema vibaya; hiyo ni tabia ya UDHALIMU

Kama mtu alikufanyia jambo jema na haukumbuki na kuchukulia kwa uzito kile ulichofanyiwa hiyo ni tabia ya UDHALIMU

Kama Kuna Mtu alisababisha uwe hivyo ulivyo SASA halafu leo unasema nilipambana mwenyewe hiyo ni tabia ya UDHALIMU.

Kama Kuna mtu aliwahi kukugharamikia maisha yako ya kiroho kiuchumi, alitembea na wewe kwenye hali zote, lakini leo unashindana naye hiyo ni tabia ya UDHALIMU

Hakuna Mtu aliyekua mwenyewe
Kila mtu alikuzwa !

Jifunze Kutambua Watu Waliowahi kuwa mchango wa maisha yako na waliokusaidia uwe hivi ulivyo Leo

Nenda waambie kwa kinywa chako kuwa wao ni wa thamani kwako
Andika hata kwa maandishi kuwaonyesha jinsi walivyochangia kuwa hivi ulivyo.

Utakuwa mtu wa thamani daima, siku zote za maisha yako.

Pastor Ibrahim Amasi
ABC-KAHAMA

LivingWord
@2019

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SIFA ZA MME BORA

  1. Yeye mwenyewe AMEMPOKEA YESU, NA KUJITIA CHINI YA MAMLAKA YAKE KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKE KIBINAFSI (Yohana 1:12-13, Yohana 3:16-18). -Atambue thamani ya

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »