Hivi utakuwa mwaminifu hata kama ukikutana na traffic na unaendesha gari huku umesahau leseni home, traffic anataka sh 2000 tu Rushwa akuachie au utamwambia mwende kituoni utozwe faini sh 50,000 uliyobakiza home budget ya siku 5? Ebu zungumza na mwalimu!
Mafundisho
KUUSHINDA UDANGANYIFU WA SHETANI KWA KWELI YA KRISTO NDANI YETU
(Soma vizuri sana ujumbe huu,utapata KWELI ya Kristo YESU ndani yako) 1.UDANGAYIFU (HILA ZA SHETANI) KUPITIA TEKNOLOJIA na MAMBO YA DUNIA HII. Na hapa Inahusisha