HEKIMA ZA NDOA 3

 
https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/14463030_1106577142711786_6129589280312082714_n.jpg?oh=e4f3c354b5f71a7f592f687e9be4bf47&oe=58A7F181
“Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko wa watu wawili wanaotakiana mema, ambapo KILA MMOJA ANAISHI KWA AJILI YA MAFANIKIO NA USTAWI WA MWENZAKE NA SI KWA AJILI YAKE TU. Ukioa au kuoa huku moyoni unajua na umeamua kuishi kwa ajili ya KUMUINUA NA KUMSIMAMISHA MWENZAKO, hautajutia wala kuona machungu ya ndoa wanayopata wengine…”
(Mhubiri 4:9-10)

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »