Hivi utakuwa mwaminifu hata kama ukikutana na traffic na unaendesha gari huku umesahau leseni home, traffic anataka sh 2000 tu Rushwa akuachie au utamwambia mwende kituoni utozwe faini sh 50,000 uliyobakiza home budget ya siku 5? Ebu zungumza na mwalimu!
HEKIMA ZA NDOA 4
“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA