“Ukiuzika uongo utaoza na utasahaulika milele … Lakini ukiuzika Ukweli, ni sawa na kujaribu kuzika mbegu isiyoharibika. Siku moja utachomoza nje toka ulikouficha na utaharibu kabisa taswira ya aliyejaribu kuuficha… Hatuwezi kufanya chochote dhidi ya kweli labda kwa ajili ya kweli… Kuwa mkweli daima…. Simama upande wa kweli… Heshima na utukufu wako hautakoma japo unaweza pata misukosuko kiasi mwanzoni… Ukweli unaousimamia bila kupepesa macho ndio utakaokuweka huru”
Mafundisho
KUUSHINDA UDANGANYIFU WA SHETANI KWA KWELI YA KRISTO NDANI YETU
(Soma vizuri sana ujumbe huu,utapata KWELI ya Kristo YESU ndani yako) 1.UDANGAYIFU (HILA ZA SHETANI) KUPITIA TEKNOLOJIA na MAMBO YA DUNIA HII. Na hapa Inahusisha