“Ukiuzika uongo utaoza na utasahaulika milele … Lakini ukiuzika Ukweli, ni sawa na kujaribu kuzika mbegu isiyoharibika. Siku moja utachomoza nje toka ulikouficha na utaharibu kabisa taswira ya aliyejaribu kuuficha… Hatuwezi kufanya chochote dhidi ya kweli labda kwa ajili ya kweli… Kuwa mkweli daima…. Simama upande wa kweli… Heshima na utukufu wako hautakoma japo unaweza pata misukosuko kiasi mwanzoni… Ukweli unaousimamia bila kupepesa macho ndio utakaokuweka huru”
Mafundisho
KWA WAOLEWAJI TU
“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu