KWENYE DHORUBA

Dhoruba

Kwenye Dhoruba Na Tufani Si Mahali Pa Kutumia Akili Na Mbinu Zako Za Kibinadamu Kujinasua… Ile Kwamba Umo Kwenye Dhoruba Au Tufani Ni Ushahidi Kwamba Hukujua Nini Kiko Mbele Yako Na Tayari Uko Mahali Pa Utata… Kujaribu Kutumia Akili Na Mbinu Za Kibinadamu Kujinasua Ni Kutaka KUJIZAMISHA ZAIDI.
Kama Unadhani Natania, Kawaulize Wanafunzi Wa Yesu; WALIMWACHA YESU ALALE, WAKAJIONGOZA WENYEWE (BILA MAELEKEZO YA YESU) NA KATIKATI YA BAHARI WAKAKUTANA NA DHORUBA, TUFANI IKAKIPIGA CHOMBO; WAKAJARIBU MBINU ZOTE ZA KIVUVI [WAKACHOTA MAJI NA KUTUPA BAADHI YA MIZIGO ILI KUPUNGUZA UZITO] LAKINI “KANUNI HIZI ZA KIBINADAMU HAZIKUFANYA KAZI” MPAKA PALE “WALIPOJUA KWAMBA WAMEKOSEA” KISHA “WAKAMTUMA PETRO” AENDE “KUWAAMSHIA YESU WALIYEMUACHA ALALE WAKATI WANAJUA WANA SAFARI WANAYOHITAJI UWEPO WAKE”
Dawa Ya Dhoruba Si Akili Na Misuli Ya Kibinadamu, Si Elimu Wala Sayansi; Dawa Ya Dhoruba Ni Kumwitia Yesu!
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »