KWENYE DHORUBA

Dhoruba

Kwenye Dhoruba Na Tufani Si Mahali Pa Kutumia Akili Na Mbinu Zako Za Kibinadamu Kujinasua… Ile Kwamba Umo Kwenye Dhoruba Au Tufani Ni Ushahidi Kwamba Hukujua Nini Kiko Mbele Yako Na Tayari Uko Mahali Pa Utata… Kujaribu Kutumia Akili Na Mbinu Za Kibinadamu Kujinasua Ni Kutaka KUJIZAMISHA ZAIDI.
Kama Unadhani Natania, Kawaulize Wanafunzi Wa Yesu; WALIMWACHA YESU ALALE, WAKAJIONGOZA WENYEWE (BILA MAELEKEZO YA YESU) NA KATIKATI YA BAHARI WAKAKUTANA NA DHORUBA, TUFANI IKAKIPIGA CHOMBO; WAKAJARIBU MBINU ZOTE ZA KIVUVI [WAKACHOTA MAJI NA KUTUPA BAADHI YA MIZIGO ILI KUPUNGUZA UZITO] LAKINI “KANUNI HIZI ZA KIBINADAMU HAZIKUFANYA KAZI” MPAKA PALE “WALIPOJUA KWAMBA WAMEKOSEA” KISHA “WAKAMTUMA PETRO” AENDE “KUWAAMSHIA YESU WALIYEMUACHA ALALE WAKATI WANAJUA WANA SAFARI WANAYOHITAJI UWEPO WAKE”
Dawa Ya Dhoruba Si Akili Na Misuli Ya Kibinadamu, Si Elimu Wala Sayansi; Dawa Ya Dhoruba Ni Kumwitia Yesu!
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »