Mdomo uumba

https://i0.wp.com/secure.static.tumblr.com/b5ac9903a1fc1735a21bb9050fd4844b/fysoqpn/5gMnpworb/tumblr_static_tumblr_static_3q7jyk6v4hgkwok4gk8kcs0gc_640.jpg?w=1200&ssl=1“Tatizo sio giza. Tatizo ni mdomo wako. Acha kukaa kimya. Acha kuzungumza kuhusu giza na madhara yake. Sema kama Mungu; NA IWE NURU. Na itakuwa. Mdomo wako ni chombo maalum cha uumbaji”
(Isaya 57:19).
Mwl D.C.K

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »