“Tatizo sio giza. Tatizo ni mdomo wako. Acha kukaa kimya. Acha kuzungumza kuhusu giza na madhara yake. Sema kama Mungu; NA IWE NURU. Na itakuwa. Mdomo wako ni chombo maalum cha uumbaji”
(Isaya 57:19).
Mwl D.C.K
KILA MWANANDOA MTARAJIWA NA MWANANDOA TAYARI.
Jikumbushe haya kuhusu ndoa: 1. Ndoa ni agano la milele mpaka kifo (ajiandae kwa hilo kiakili, kiufahamu, kihisia na kiroho)! Ukikurupuka kama fashion au kufikiri