MOJA WAPO YA SABABU ZILIZOFANYA NIKAZANIE KUWA BORA-01

“SIKUONA HESHIMA WANAYOPEWA WATU WA “JUMLA” NILIONA WANAOPEWA HESHIMA NI WALIOFANIKIWA KUFANYA VITU VYA PEKEE AU VITU VILEVILE KWA UPEKEE”

YAANI NILIGUNDUA, DUNIA HAISHANGILII KILA MTU, INASHANGILIA ALIYEFANYA AMBACHO HAKIJAWAHI KUFANYWA AU KILICHOWAHI KUFANYWA LAKINI KWA NAMNA TOFAUTI!

YAANI NILIONA “UKIWA MTU WA KAWAIDA” KAMA WENGINE, UTAPATA WANACHOPATA WENGINE NA HUATAKAA UWE “MTU KATI YA WATU” MILELE!

KWA MAAMUZI YANGU YA DHATI, NIKASEMA SITAKI KUWA KAMA WENGINE WOTE, NATAKA KUWA MTU WA TOFAUTI, MTU WA PEKEE, MTU AMBAYE ULIMWENGU HAUJAWAHI KUWA NAYE NA AMBAYE AKIONDOKA HATAKUWEPO WA KUZIBA NAFASI YANGU AU ITAHITAJI MUDA MREFU KUPATA ANAYEONEKANA KUFANYA KAMA MIMI!

HII ILIBADILISHA VIPAUMBELE VYANGU, NDOTO NILIZOKUWA NAZO, NA HATA PICHA YA MAISHA AMBAYO NILIKUWA NAYO… I JUST WANTED MORE OUT OF LIFE! INGAWA SIJAWA NINAVYOTAKA KUWA, LAKINI NAMSHUKURU MUNGU MTU YEYOTE MWENYE AKILI NJEMA ANAWEZA KUONA MIMI SI MTU WA KAWAIDA, NINA LADHA YANGU YA KIPEKEE!

Mwalimu Dickson Cornel Kabigumila

21/05/2019

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »