HEKIMA ZA NDOA 4

https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/14457549_1106579872711513_5630216793992043093_n.jpg?oh=f48d82b205450242c908bd88b7ae5e38&oe=58A92C28
“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA KINACHOMNOA MWENZIE kuliishi na kulitimiza kusudi la Mungu walilopewa!
Kama unaoa au kuolewa, hakikisha unaolewa na kuoa mtu ambaye ANAKUTIA MOTO KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU MAISHANI MWAKO, halafu SUALA LA KUKUTIA JOTO KITANDANI LINAFUATA USIKU baada ya kushinda kutwa nzima PAMOJA MKILITUMIKIA KUSUDI LA MUNGU…”
(Mhubiri 4:9-11).
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »