UNAJUAJE UNA KESHO KUBWA?

UNAJUAJE UNA KESHO KUBWA?

1. Unapoamua kwa dhati kuishi maisha matakatifu mbali na dhambi hasa DHAMBI ZA ZINAA NA UASHERATI

Watu wote wakuu wameshinda uchafu wa kingono, na kesho zao zikawa za utukufu!

•Yusufu

Mwanzo 39:7-10

•Ayubu

Ayubu 31:1

•Mama wa Suleman alimjenga kwenye msingi huo, ingawa baada ya kuwa Mfalme aliuacha

Mithali 31:1-3

WAFUATAO KESHO ZAO ZILIHARIBIWA NA NGONO

•Reuben

Mwanzo 49:3-4

•Samson

Waamuzi 16:1

• Amnoni

2Samweli 13:1-39

KAMA UNA MPANGO WA KUWA MTU MKUU

•Usiendelee na dhambi za ngono, unaua ukuu wako

•Tafuta msaada ufunguliwe jumla na kushinda huu uovu

•Kama haujaingia kwenye dhambi hizi, jitunze kwa dhati mbali na hii dhambi, na itakusaidia mno kuiendea kesho yako ya ukuu kwa ujasiri

• Condom zinaweza kuzuia mimba, lakini haziwezi kuzuia utendaji wa nguvu za giza kupitia uhalali uliowapatia kwa kuzini

•Vizuia mimba na teknolojia ya kuzuia mimba havitoshi kukutia moyo uone zinaa ni kawaida, ni kitu cha kiroho, unauza kesho yako ya utukufu!

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE,

KILA SIKIO LA KUFA NA LISIKIE DAWA,

Askofu Dickson Kabigumila

25.03.2024

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »