HEKIMA ZA NDOA 4

https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/14457549_1106579872711513_5630216793992043093_n.jpg?oh=f48d82b205450242c908bd88b7ae5e38&oe=58A92C28
“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA KINACHOMNOA MWENZIE kuliishi na kulitimiza kusudi la Mungu walilopewa!
Kama unaoa au kuolewa, hakikisha unaolewa na kuoa mtu ambaye ANAKUTIA MOTO KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU MAISHANI MWAKO, halafu SUALA LA KUKUTIA JOTO KITANDANI LINAFUATA USIKU baada ya kushinda kutwa nzima PAMOJA MKILITUMIKIA KUSUDI LA MUNGU…”
(Mhubiri 4:9-11).
Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

NDOA

Haikuanzishwa Na WANADAMU Bali MUNGU Ndiye Aliyeanzisha TAASISI HII… Imeanzishwa Na MUNGU Ambaye Ni Roho, Uwe Na Uhakika Haiwezi Kuendeshwa Kwa Kutegemea AKILI, HEKIMA NA

Read More »