Kanuni muhimu..

Kati ya KANUNI muhimu za MAISHA YA IMANI ni kukubali kuwa kama MTOTO MDOGO. Tofauti na hapo UTAZIKOSA BARAKA, FAIDA NA UPENDELEO unaotoka kwenye UFALME WA MUNGU- BABA YETU. Mtoto mdogo huwa haumizi kichwa kujiuliza ATAKULA, KUNYWA AU KUVAA NINI…Anajua siku zote ya kuwa yote hayo yako NDANI YA UWEZO WA BABA YAKE.
TUSIPOMWAMINI NA KUMTEGEMEA MUNGU kama WATOTO WADOGO, na kuweka pembeni MASHAKA, MAHANGAIKO NA HEKIMA ZA KIBINADAMU [zilizo sawa na ripoti ya milango mitano ya fahamu] TUTAISHIA KUSOMA KWENYE BIBLIA NA KUSIKIA KWA WENGINE KUHUSU UAMINIFU NA WEMA WA MUNGU KWETU KAMA BABA!
“Nafsi yangu imemtegemea BWANA bila wasiwasi” (Zaburi 26:1c)!

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »