Kanuni muhimu..

Kati ya KANUNI muhimu za MAISHA YA IMANI ni kukubali kuwa kama MTOTO MDOGO. Tofauti na hapo UTAZIKOSA BARAKA, FAIDA NA UPENDELEO unaotoka kwenye UFALME WA MUNGU- BABA YETU. Mtoto mdogo huwa haumizi kichwa kujiuliza ATAKULA, KUNYWA AU KUVAA NINI…Anajua siku zote ya kuwa yote hayo yako NDANI YA UWEZO WA BABA YAKE.
TUSIPOMWAMINI NA KUMTEGEMEA MUNGU kama WATOTO WADOGO, na kuweka pembeni MASHAKA, MAHANGAIKO NA HEKIMA ZA KIBINADAMU [zilizo sawa na ripoti ya milango mitano ya fahamu] TUTAISHIA KUSOMA KWENYE BIBLIA NA KUSIKIA KWA WENGINE KUHUSU UAMINIFU NA WEMA WA MUNGU KWETU KAMA BABA!
“Nafsi yangu imemtegemea BWANA bila wasiwasi” (Zaburi 26:1c)!

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »