KWENYE DHORUBA

Dhoruba

Kwenye Dhoruba Na Tufani Si Mahali Pa Kutumia Akili Na Mbinu Zako Za Kibinadamu Kujinasua… Ile Kwamba Umo Kwenye Dhoruba Au Tufani Ni Ushahidi Kwamba Hukujua Nini Kiko Mbele Yako Na Tayari Uko Mahali Pa Utata… Kujaribu Kutumia Akili Na Mbinu Za Kibinadamu Kujinasua Ni Kutaka KUJIZAMISHA ZAIDI.
Kama Unadhani Natania, Kawaulize Wanafunzi Wa Yesu; WALIMWACHA YESU ALALE, WAKAJIONGOZA WENYEWE (BILA MAELEKEZO YA YESU) NA KATIKATI YA BAHARI WAKAKUTANA NA DHORUBA, TUFANI IKAKIPIGA CHOMBO; WAKAJARIBU MBINU ZOTE ZA KIVUVI [WAKACHOTA MAJI NA KUTUPA BAADHI YA MIZIGO ILI KUPUNGUZA UZITO] LAKINI “KANUNI HIZI ZA KIBINADAMU HAZIKUFANYA KAZI” MPAKA PALE “WALIPOJUA KWAMBA WAMEKOSEA” KISHA “WAKAMTUMA PETRO” AENDE “KUWAAMSHIA YESU WALIYEMUACHA ALALE WAKATI WANAJUA WANA SAFARI WANAYOHITAJI UWEPO WAKE”
Dawa Ya Dhoruba Si Akili Na Misuli Ya Kibinadamu, Si Elimu Wala Sayansi; Dawa Ya Dhoruba Ni Kumwitia Yesu!
Mwl D.C.K
dicoka@rocketmail.com

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »