MRITHI WA NENO PAMOJA NA NENO

https://i0.wp.com/s-media-cache-ak0.pinimg.com/564x/cc/5e/7e/cc5e7e7d0d3bce17f95e5e1d072db572.jpg?w=1200&ssl=1
Unapolitumia NENO LA MUNGU Kama “SILAHA ILIYO NJE YAKO” Ni Sawa Itafanya Kazi Lakini “SI KWA KIWANGO NA UBORA UNAOTAKIWA” Na Hakika Hautapata Kiwango Cha Ubora Ambao Mbingu Zimekusudia Upate Kutoka Kwenye NENO.
Biblia Inasema, “UMEZALIWA MARA YA PILI KWA MBEGU ISIYOHARIBIKA, IDUMUYO MILELE, AMBAYO NI NENO LA MUNGU” (1Petro 1:23).
Kwa Lugha Nyepesi; Mara Tu Baada Ya Kuokoka, “WEWE UNAKUWA NA DNA [VINASABA] VYA NENO” Maana “NENO LA MSALABA” Ndilo “LILILOKUNUNUA PALE MSALABANI” Maana “NENO LILICHUKUA MWILI” Likaja Duniani Na “KUKUFIA MSALABANI” Na Ndilo Unalosoma Kwenye BIBLIA YAKO; Ukilitamka Na Kulitumia NENO LA MUNGU Kwa UHAKIKA NA IMANI “KAMA LAKO MWENYEWE” Badala Ya Kuliona Kama “ANDIKO KWENYE KITABU” Hakika Utashangazwa Na Ubora Na Matokeo Makubwa Yatakayoanza Kuzaliwa Maishani Mwako Kutokana Na NENO Maishani Mwako… NI NENO LA MUNGU NDIYO, LAKINI NI LAKO PIA MAANA WEWE NI MRITHI ULIYERITHI YA MUNGU [LIKIWEMO NENO LAKE] PAMOJA NA KRISTO YESU (Warumi 8:16-17).
Kwangu Binafsi Nikilitamka NENO, Natamka Kwa Uhakika, Nguvu, Mamlaka Na Pasipo Shaka Halafu Nasubiri Matokeo MAKUBWA Kama Ambayo Yangetokea Kama Lingetamkwa Na Mungu Mwenyewe!
“…KAMA YEYE ALIVYO, NDIVYO MIMI NILIVYO ULIMWENGUNI HUMU” (1Yohana 4:17).

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

usioe kwa sababu

“Usioe kwa sababu unawaka tamaa, hivyo unaoa ili usiendelee kutenda dhambi nje. Dawa ya tamaa si kuoa. Dawa ya tamaa ni kukubali kuwa tamaa inakutesa,

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

SEX BEFORE MARRIAGE

#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »