Ukifa Leo

https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-0/p480x480/16266166_1211459955556837_3211989167514317597_n.jpg?oh=8cfbfb9e726f5904e7469be71059262d&oe=5907E1BB
“Hivi ikitokea UKAFA LEO watu watakaobaki duniani WATAKUKUMBUKA KWA LIPI? Kazi zako zitaendelea kuishi au UTAZIKWA NA KILA ULICHOBEBA NDANI YAKO? Huwa nawaambia watu, SIOGOPI KUFA NA SIFI KIRAHISI NA KAMA KUKU… UHAI WANGU UMEFICHWA PAMOJA NA UHAI WA KRISTO YESU NDANI YA MUNGU… LAKINI ikitokea MUNGU AMENICHUKUA NA KAJIRIDHISHA KAZI YANGU IMETOSHA… Yeye mwenyewe (Mungu) ATANIPOKEA KISHUJAA AKISEMA KARIBU MTUMWA MWEMA NA MWAMINIFU… Na waliobaki DUNIANI watabaki wakiandika kuhusu MIMI NA YALE AMBAYO MUNGU AMENITUMIA KUFANYA… Sitakufa wala kuondoka na chochote duniani, I WILL DIE EMPTY… Wewe UMEKAA TU UNASEMA MIAKA 5 IJAYO, MIAKA 10 IJAYO TANZANIA ITANIFAHAMU… Ndugu, WAKATI ULIOKUBALIKA NI SASA… MUDA WAKO DUNIANI NI LEO, KESHO SI YAKO… Usipoanza LEO KUACHA ALAMA DUNIANI, tutakuzika na VYOTE ALIVYOWEKEZA MUNGU MAISHANI MWAKO… AMKA, TUMIA MAISHA YAKO KUANDIKA JINA LAKO LITAKALOISHI WEWE UKIMALIZA SAFARI YA MAISHA..”

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 3

  “Kusudi la ndoa ni kujenga TIMU YA WANAOSADIANA NA KUINUANA. Wawili ni bora kuliko mmoja, MAANA MMOJA AKIANGUKA, MWENZIE ATAMUINUA. Ndoa sahihi ni muunganiko

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »