“Hawapingi miujiza ila wanawapinga watenda miujiza. Unajua; UKIONA MTU ANAFANYA AMBACHO UNAJUA ULIPASWA KUWA UNAFANYA LAKINI HAUJUI NAMNA YA KUKIFANYA ANAKUCHANGANYA… Upande mmoja unajua naweza kabisa kufanya hiki lakini nakosea wapi? Na bado huelewi… Kinachofuata ni KUANZA KUWASEMA WANAOFANYA ULICHOSHINDWA… Tangu nimepata haka kasiri… Siwashangai WANAOWASEMA WATUMISHI WALIOWAZIDI… Wamechanganyikiwa… Wanajua NENO LINAWARUHUSU KUFANYA HAYO LAKINI WANASHANGAA HAWAFANYI… KInachofuata ni KUPANIC… KAZI YA MUNGU NI NZURI UKIJUA MAMBO KAMA HAYA… Sasa njia rahisi si KUWASEMA… Ni kukubali WAMEKUPITA KWENYE ENEO HILO… Halafu kwa Upendo wafuate KAA CHINI WAKUELEKEZE NAMNA YA KUANZA KUFANYA KAMA WAO…”
Mafundisho
SEX BEFORE MARRIAGE
#TENDO LA NDOA KABLA YA #NDOA Luka 16:10 [10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo