Wivu si dhambi

..

Wivu Kwa Kitu Ambacho Ni Chako, Si Mbaya Wala Si Dhambi… Naamini Ni Jambo Jema Sana Kwa Mme/ Mke Kuwa Na Wivu Kwa Mwenzi Wake… Ni Sehemu Ya Kuonesha Kujali, Kupenda Na Kuthamini Cha Kwako… Hata Mimi Nikioa Obviously Sitamruhusu Mwanamme Mwingine Azungumze Saana, Mara Kwa Mara Na Mke Wangu… Maana Ni Wangu, Si Wake… Wivu Ni Tabia Ya Kiungu; Hata Baba Yangu Wa Mbinguni Ni “MUNGU MWENYE WIVU” Hajawahi Kukubali Kushare Kile Akipendacho Na Miungu Mingine… Ndio Maana Alikuwa Akiwachunga ISRAEL Wasije Wakaingia Kwenye Mikono Ya Akina Dagoni, Baal-zebub Na Wengineo!
Kibaya Ni Ule Wivu Wa Kipumbavu Walionao Baadhi Ya Wapendanao Hutokanao Mara Nyingi Na Kutojuana Vema, Kutokuaminiana Nk… Huu Si Wivu Wa Kimungu, Huu Ni Wivu Wa Kipuuzi!

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ni Hekima Ya Mungu Kumpa Mwanadamu MALIGHAFI [Raw Materials] Ili Yeye [Mwanadamu] Afanye Sehemu Yake KUZIFANYA KUWA BIDHAA HALISI [Products]… Mungu Anakupa MTI Na Ni

Read More »