DUI ASIYEKUJUA HAWEZI KUKUSHINDA

DUI ASIYEKUJUA HAWEZI KUKUSHINDA

1. Askari maelfu wa Kifilisti hawakuweza kumkamata wala kumdhuru Samsoni, isipokuwa Delila mwenye siri zake

2. Askari mamia wa Kirumi hawakuweza kumkamata Bwana Yesu isipokuwa kwa msaada wa mtu wa karibu, mweka hazina wake Yuda Iskariote

3. Shetani hakuweza kumuondoa Adam Eden miaka na miaka, isipokuwa kwa kupitia sauti ya mtu amwaminiye mno Eva

UJIHADHARI NA MAADUI NA UONGEZE UMAKINI NA MARAFIKI,

NI RAHISI KUMSHINDA ADUI WA MBALI KULIKO KUMSHINDA RAFIKI ALIYEGEUKA ADUI…

Askofu Dickson Kabigumila

ABC GLOBAL DUNIANI

07.03.2024

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram
Mafundisho
yesunibwana

KWA WAOLEWAJI TU

“Kati Ya Mambo Unayopaswa Kuyachunguza Kuhusu Mtu Anayetarajia Kukuoa NI UAMINIFU NA UADILIFU Kwenye MALI NA PESA YA UMMA, KAMPUNI Au WATU WENGINE… Ukiona Huyu

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »
Mafundisho
yesunibwana

WAZEE WA MKEKA/KUBETI MPOO!!

  USHUHUDA: AFUNGULIWA TOKA TABIA SUGU YA KUCHEZA KAMARI, MAARUFU KAMA KU-BET AU KUTANDIKA MIKEKA! Ngoja nikupe mchongo wa kukutoa jumla kwenye huu MSALA. Huu

Read More »

USIOE KWA SABABU :2

  “Wenzako wote uliokua nao au kusoma nao wanaoa. Ndoa si ALISEREMA ARIJA AU MWENGE TUNAUKIMBIZA. Ndoa ni taasisi ambayo Mungu amemuwekea kila mmoja wetu

Read More »