DUI ASIYEKUJUA HAWEZI KUKUSHINDA

DUI ASIYEKUJUA HAWEZI KUKUSHINDA

1. Askari maelfu wa Kifilisti hawakuweza kumkamata wala kumdhuru Samsoni, isipokuwa Delila mwenye siri zake

2. Askari mamia wa Kirumi hawakuweza kumkamata Bwana Yesu isipokuwa kwa msaada wa mtu wa karibu, mweka hazina wake Yuda Iskariote

3. Shetani hakuweza kumuondoa Adam Eden miaka na miaka, isipokuwa kwa kupitia sauti ya mtu amwaminiye mno Eva

UJIHADHARI NA MAADUI NA UONGEZE UMAKINI NA MARAFIKI,

NI RAHISI KUMSHINDA ADUI WA MBALI KULIKO KUMSHINDA RAFIKI ALIYEGEUKA ADUI…

Askofu Dickson Kabigumila

ABC GLOBAL DUNIANI

07.03.2024

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp
Share on telegram

HEKIMA ZA NDOA 5

“Ni mwanandoa mpumbavu pekee anayesubiri aombwe msamaha ili asamehe; Maana waweza kukuta kile unachoona kama kosa, mwenzako anaweza asikione hivyo, kwa kutosamehe ufa huo unaweza

Read More »

HEKIMA ZA NDOA 4

“Ndoa ni taasisi ambayo unaungana na mtu mwingine ambaye ANAWEZA KUKUTIA MOTO kwenye KULIFUATA NA KULITIMIZA KUSUDI LA MUNGU… Wawili sahihi kila mmoja anakuwa CHUMA

Read More »

KWA WAOAJI TU

“Ukimuona Mwanamke Ambaye AMEKAMILIKA TAYARI [Product] Ujue Kuna Mwanaume Mwingine Ambaye AMEINGIA GHARAMA Kumfanya AHAME TOKA KWENYE MALIGHAFI [Raw Material] Mpaka Kuwa Vile Alivyo… UKIONA

Read More »

NDOA

“Haiunganishi familia mbili bali inazalisha familia mpya ya tatu… Inayojiendesha, kujitawala, kujiamulia na kujichagulia mambo yake… Familia hii mpya ya tatu inakuwa na kusudi na

Read More »